Day.23. Spiritual Food: Amini kile Bwana alichokuonesha juu yake
Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Lakini naliwaambia ya kwamba mmeniona wala hamwamini’ Yn.6:36 Mambo ya kujifunza Bwana Yesu anasisitiza katika andiko hili […]