• Twitter
  • Facebook
  • Instagram
Isaack Zake
  • Home
  • Kuhusu Mimi
  • Huduma
  • Vitabu
  • ULIZA
  • Shop
  • Blog
  • Mawasiliano
  • Search
  • Menu Menu
Isaack Zake

About Isaack Zake

This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Isaack Zake contributed 131 entries already.

Entries by Isaack Zake

ELIMU

AES.12. Changamoto za Mfumo rasmi wa Elimu – Kuandaa waajiriwa badala ya watenda kazi

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wetu. Katika makala iliyopita  tulijifunza juu ya changamoto ya mfumo wa elimu kufananisha watu wote. Leo tunajifunza juu ya changamoto ya mfumo wa elimu kuandaa waajiriwa badala ya watenda kazi. Karibu sana. Tunaendelea kuzichambua changamoto ambazo zipo ndani ya mfumo wa elimu na jinsi zinavyoweza kuathiri wanafunzi ambao tunatarajia kuwa […]

July 2, 2020/2 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.33. Spiritual Food: Je, ni nani chanzo chako cha taarifa kuhusu Mungu?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba’ Yn.6:46 Mambo ya […]

July 2, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.32. Spiritual Food: Je, unajifunza kwa nani?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Imeandikwa katika manabii, na wote watakuwa wamefundishwa na Mungu. Na kila asikiaye na Kujifunza kwa Mungu huja […]

July 1, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
KIPAJI CHANGU

Kipaji.9. Changamoto ya Vipaji vingi

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu katika mafunzo juu ya Kipawa/Vipawa katika ukurasa huu wa vipaji. Katika makala iliyopita tuliona changamoto ya Kiburi. Leo tunaangalia changamoto ya vipaji vingi. Sababu 6. Changamoto ya Vipaji vingi Wapo watu ambao wamejaliwa vipaji zaidi ya kimoja. Mtu anaweza kuwa na vipaji viwili au vitatu mpaka vitano kutokana na mahitaji […]

July 1, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
KIPAJI CHANGU

Kipaji.8. Changamoto ya Kiburi

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu katika mafunzo juu ya Kipawa/Vipawa katika ukurasa huu wa vipaji. Katika makala iliyopita tuliona changamoto ya Kutonoa kipaji. Leo tunaangalia changamoto ya Kiburi. Sababu 5. Changamoto ya Kiburi Kipaji ni kitu kizuri na kipaji kinakupa mtu kukubalika katika maeneo mengi. Mwenye kipaji ni mtu wa thamani katika jamii yake na […]

June 29, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.31. Spiritual Food: Yesu ndiye Ufufuo

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; nami nitamfufua siku ya mwisho’Yn.6:44 Mambo ya kujifunza […]

June 29, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
KIPAJI CHANGU

Kipaji.7. Changamoto ya Kutonoa kipaji

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu katika mafunzo juu ya Kipawa/Vipawa katika ukurasa huu wa vipaji. Katika makala iliyopita tuliona changamoto ya Umri kumzuia mtu kutumia kipaji chake. Leo tunaangalia sababu nyingine ni Kutonoa kipaji Sababu 4. Changamoto ya Kutonoa Kipaji Tunafahamu ya kuwa kipaji ni zawadi ya bure ambayo mtu huzaliwa nayo. Kila mtu anacho […]

June 27, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.30. Spiritual Food: Acha Kunung’unika

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Basi Yesu akajibu akawaambia, msinung’unike ninyi kwa ninyi’Yn.6:43 Mambo ya kujifunza Ni tabia ya watu wengi kupenda […]

June 27, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
ELIMU

AES.11. Changamoto za Mfumo rasmi wa Elimu – Kufananisha watu wote

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wetu. Katika makala iliyopita  tulijifunza juu ya changamoto ya Masomo Usiyoyahitaji. Leo tunajifunza juu ya changamoto ya mfumo wa elimu kutaka kufananisha watu wote. Karibu sana. Tunaendelea kuzichambua changamoto ambazo zipo ndani ya mfumo wa elimu na jinsi zinavyoweza kuathiri wanafunzi ambao tunatarajia kuwa wazalishaji katika taifa lolote ili kujiletea […]

June 25, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.29. Spiritual Food: Wewe ni nani?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘wakasema, Je! Huyu sie Yesu, mwana wa Yusufu, ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa anasemaje huyu, Nimeshuka […]

June 25, 2020/0 Comments/by Isaack Zake
Page 7 of 14«‹56789›»

MAKUNDI YA MAKALA

  • ELIMU (20)
  • FAMILIA (2)
  • KIPAJI CHANGU (14)
  • KUSUDI LA MAISHA (13)
  • MAANA YA KAZI (17)
  • MAKALA (2)
  • NENO LA MUNGU (8)
  • SPIRITUAL FOOD (55)

MAKALA MPYA

  • Day.55. Spiritual Food: Je, ulipo kuna maneno ya uzima wa milele? March 26, 2022
  • Day.54. Spiritual Food: Je, unataka kuondoka? March 24, 2022
  • Day.53. Spiritual Food: Je umekwazwa na kitu gani maishani? January 15, 2022
  • AES.20. Upimaji ni rahisi kuwa na udanganyifu November 8, 2021
  • Day.52. Spiritual Food: Twamwendea Bwana Yesu kwa Neema October 18, 2021

Kuhusu | Vitabu | Mawasiliano

© 2020 Isaack Zake. All Rights Reserved

Scroll to top