Day.39. Spiritual Food: Kula uishi
Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Hiki ni chakula kishikacho kutoka mbinguni; kwamba akile wala asife’ Yn.6:50 Mambo ya kujifunza Bwana Yesu anasema […]