• Twitter
  • Facebook
  • Instagram
Isaack Zake
  • Home
  • Kuhusu Mimi
  • Huduma
  • Vitabu
  • ULIZA
  • Shop
  • Blog
  • Mawasiliano
  • Search
  • Menu Menu
Isaack Zake

About Isaack Zake

This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Isaack Zake contributed 131 entries already.

Entries by Isaack Zake

SPIRITUAL FOOD

Day.55. Spiritual Food: Je, ulipo kuna maneno ya uzima wa milele?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Basi Simon Petro akamjibu, Bwana! Twende kwa nani? Wewe unayo maneno ya uzima wa milele’ Yn.6:68 Mambo […]

March 26, 2022/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.54. Spiritual Food: Je, unataka kuondoka?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Basi Yesu akawaambia wale Thenashara, Je! Ninyi nanyi mwataka kuondoka?’ Yn.6:67 Mambo ya kujifunza Kama tulivyoona katika […]

March 24, 2022/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.53. Spiritual Food: Je umekwazwa na kitu gani maishani?

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena’ Yn.6:66 Mambo ya […]

January 15, 2022/0 Comments/by Isaack Zake
ELIMU

AES.20. Upimaji ni rahisi kuwa na udanganyifu

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wetu. Katika makala zilizopita  tulianza kuzichambua changamoto za mfumo wa elimu katika upimaji, kwa kuangalia kiujumla mojawapo ya changamoto kubwa ya mfumo huu rasmi ya elimu. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya upimaji unaokosa uhalisia wa utatuzi wa matatizo ya kijamii. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Upimaji kuwa rahisi katika […]

November 8, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.52. Spiritual Food: Twamwendea Bwana Yesu kwa Neema

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Akasema kwa sababu hiyo nimewaambia ya kwamba hakuna mtu awezaye kuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba yangu’ […]

October 18, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
ELIMU

AES.19. Upimaji kukosa uhalisia wa utatuzi wa matatizo ya kijamii

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wetu. Katika makala zilizopita  tulianza kuzichambua changamoto za mfumo wa elimu katika upimaji, kwa kuangalia kiujumla mojawapo ya changamoto kubwa ya mfumo huu rasmi ya elimu. Katika makala iliyopita tuliangalia  juu ya upimaji unaofanyika katika muda mfupi kuliko upimaji unaopaswa kuwa kwa muda mrefu. Leo tunaangalia juu ya upimaji unaokosa […]

October 17, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.51. Spiritual Food: Si wote ni wateule

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni […]

March 8, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.50. Spiritual Food: Neno la Mungu latupa Uzima

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Naye Yesu akafahamu nafsini mwake ya kuwa wanafunzi wake wanalinung’unikia neno hilo, akawaambia, Je! Neno hili limewakwaza? […]

March 7, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
KUSUDI LA MAISHA

Purpose 13. Kanuni za Kusudi- Si kila Kusudi linajulikana kwetu

Karibu sana ndugu msomaji wa makala mbalimbali katika mtandao huu wa isaackzake. Tunamshukuru Mungu sana kwa nafasi aliyotupa tena kukutana na wewe msomaji kwa njia ya makala hizi. Katika makala iliyotangulia tuliangalia Kanuni ya 2 inayosema Mungu aliumba kila kitu kwa Kusudi. Leo hii tunaangalia kanuni ya 3 inayosema Si kila Kusudi linajulikana kwetu. Si […]

March 6, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
SPIRITUAL FOOD

Day.49. Spiritual Food: Hakuna Lisilowezekana kwa Mungu

Utangulizi Karibu sana ndugu yangu msomaji ni siku nyingine tena tumepewa na Mungu kwa ajili ya kuendelea kujifunza zaidi misingi ya chakula cha kiroho ili kutuwezesha kufanya mapenzi yake na kumtumikia kwa furaha na upendo siku ya leo. ‘Basi watu wengi miongoni mwa wanafunzi wake waliposikia, walisiema, Neno hili ni gumu, ni nani awezaye kulisikia?’ […]

March 5, 2021/0 Comments/by Isaack Zake
Page 1 of 14123›»

MAKUNDI YA MAKALA

  • ELIMU (20)
  • FAMILIA (2)
  • KIPAJI CHANGU (14)
  • KUSUDI LA MAISHA (13)
  • MAANA YA KAZI (17)
  • MAKALA (2)
  • NENO LA MUNGU (8)
  • SPIRITUAL FOOD (55)

MAKALA MPYA

  • Day.55. Spiritual Food: Je, ulipo kuna maneno ya uzima wa milele? March 26, 2022
  • Day.54. Spiritual Food: Je, unataka kuondoka? March 24, 2022
  • Day.53. Spiritual Food: Je umekwazwa na kitu gani maishani? January 15, 2022
  • AES.20. Upimaji ni rahisi kuwa na udanganyifu November 8, 2021
  • Day.52. Spiritual Food: Twamwendea Bwana Yesu kwa Neema October 18, 2021

Kuhusu | Vitabu | Mawasiliano

© 2020 Isaack Zake. All Rights Reserved

Scroll to top